NovaVib

Coronavirus: Kila mgeni atakayewasili Tanzania lazima awekwe karantini

Serikali ya Tanzania imesema kuwa kila mgeni anayeingia nchini humo lazima awekwe karantini kwa siku 14

Hatua hii itasaidia kuzuia kuenezwa kwa ugonjwa wa corona ambao umeathiri dunia nzima.

Akizungumza na wanahabari, mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda amesema kuwa serikali imetenga maeneo ambao wageni wote watatengwa kwa muda fulani.

Habari Nyingine: Idadi ya walioambukizwa virusi vya corona sasa ni watu 15

Habari Nyingine: Sitajiuzulu, naibu gavana wa Kirinyaga Peter Ndambiri asema baada ya mzozo na Waiguru

Kufikia sasa Tanzania imeripoti watu wawili ambao wamepona kutoka na virusi vya ugonjwa wa corona huku Kenya ikiripoti visa 14 zaidi vya maambukizi.

Aidha, waziri wa afya humu nchini Mutahi Kagwe amewataka Wakenya kuvalia barokoa kila mara wanapoingia kwenye maduka ya jumla kununua bidhaa.

Kagwe alionya kuwa maduka ambayo hayatafuata sheria hizo yatachukuliwa hatua kali za kisheria.

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia news@tuko.co.ke au WhatsaApp: 0732482690.

Tazama habari zaidi kutoka TUKO.co.ke

Subscribe to watch new videos

Chanzo: TUKO.co.ke

ncG1vNJzZmijmajEorTIpaBnrKWgvG%2Bvzmeinmdjan10g5Jmmqiqn6Out7XRrqpmo5mhrm65xp6lomWRqa6srdierpqrmaG2bsDAp7GappmWeq2t2aKkmmWRrLKsw8RmopqqkaPBqrrIZ5%2BtpZw%3D

Reinaldo Massengill

Update: 2024-09-04